PICHA NA MATUKIO


News

Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Dkt. Kedmon Mapana akicheza ngoma ya Spot katika uzinduzi wa Sanaa mtaa kwa mtaa

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa akihutubia wananchi wa Wilaya ya Rufiji juu ya programu ya Sanaa mtaa kwa mtaa

Mwanafunzi Msanii Mussa H. Mbonde kutoka shule ya msingi ya Siasa Utete akitumbwiza katika uzinduzi wa Sanaa mtaa kwa mtaa

Copyright © 2021. All Rights Reserved.