
Viongozi wa serikali wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa BASATA baada ya kikao cha kupitia uunganishaji wa mifumo ya kiserikali, yaani Mfumo wa AMIS na TAUS, kilichofanyika mjini Morogoro.