Parliament Logo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Baraza la Sanaa la Taifa

A meeting to review the integration of the AMIS an...

22 Jan, 2025
A meeting to review the integration of the AMIS and TAUS systems.

Viongozi wa serikali wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa BASATA baada ya kikao cha kupitia uunganishaji wa mifumo ya kiserikali, yaani Mfumo wa AMIS na TAUS, kilichofanyika mjini Morogoro.

Settings