BRELA na BASATA Watia Saini Makubaliano ya TEHAMA kwa Maendeleo ya Sanaa
Katika kuimarisha msingi wa mikakati ya kukuza sekta ya sanaa na ubunifu kama
chachu ya maendeleo ya uchumi nchini, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni
(BRELA) na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) wametia saini hati ya makubaliano ya
ushirikiano kupitia mifumo ya TEHAMA. Tukio hili limefanyika leo, tarehe 12 Agosti
2025, katika ukumbi wa mikutano wa BRELA, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mshindi wa Miss World 2025 Bi. Opal Suchata Chuangsri pamoja na Miss World Africa na mshindi wa pili kwa mwaka 2025 Bi. Hasset Dereje Admassu kutoka Ethiopia mara baada ya mazungumzo yaliofanyika Kizimkazi, Zanzibar tarehe 20 Julai, 2025.
Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi BASATA Ndugu Mgunga A. Mwamnyenyelwa (Mjumbe wa Bodi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa idara ya ukuzaji na maendeleo ya sanaa mara baada ya kutoa hotuba ya ufunguzi wa mafunzo ya huduma kwa wateja yanayotelewa kwa watumishi wa Baraza tarehe 17 na 18 Machi, 2025 katika ukumbi wa TAMISEMI Dar es salaam ili kuimarisha mfumo wa utoaji huduma kwa wadau wa sanaa nchini
Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi BASATA Ndugu Mgunga A. Mwamnyenyelwa (Mjumbe wa Bodi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa idara ya ukuzaji na maendeleo ya sanaa mara baada ya kutoa hotuba ya ufunguzi wa mafunzo ya huduma kwa wateja yanayotelewa kwa watumishi wa Baraza tarehe 17 na 18 Machi, 2025 katika ukumbi wa TAMISEMI Dar es salaam ili kuimarisha mfumo wa utoaji huduma kwa wadau wa sanaa nchini
Mgeni rasmi ambaye ni Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi BASATA Ndugu Mgunga A. Mwamnyenyelwa (Mjumbe wa Bodi) akielekea ukumbini kwaajili ya ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili kwa watumishi wa Baraza tarehe 17 na 18 Machi, 2025 katika ukumbi wa TAMISEMI Dar es salaam ili kuimarisha mfumo wa utoaji huduma kwa wadau wa sanaa nchini, kulia kwake ni Kaimu Katibu Mtendaji BASATA Ndugu Edward E. Buganga na Kushoto kwa mgeni rasmi ni Mkurugenzi msaidizi utawala na Rasilimali watu Bwana. Nuru Namoroma.
Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi BASATA Ndugu Mgunga A. Mwamnyenyelwa (Mjumbe wa Bodi) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa ofisi ya Utawala na vitengo mara baada ya kutoa hotuba ya ufunguzi wa mafunzo ya huduma kwa wateja yanayotelewa kwa watumishi wa Baraza tarehe 17 na 18 Machi, 2025 katika ukumbi wa TAMISEMI Dar es salaam ili kuimarisha mfumo wa utoaji huduma kwa wadau wa sanaa nchini
Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi BASATA Ndugu Mgunga A. Mwamnyenyelwa (Mjumbe wa Bodi) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa ofisi ya Utawala na vitengo mara baada ya kutoa hotuba ya ufunguzi wa mafunzo ya huduma kwa wateja yanayotelewa kwa watumishi wa Baraza tarehe 17 na 18 Machi, 2025 katika ukumbi wa TAMISEMI Dar es salaam ili kuimarisha mfumo wa utoaji huduma kwa wadau wa sanaa nchini.
Mwakilishi wa Mwenyekiti wa Bodi BASATA Ndugu Mgunga A. Mwamnyenyelwa (Mjumbe wa Bodi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wakuu wa Idara na Vitengo mara baada ya kutoa hotuba ya ufunguzi wakati wa mafunzo ya siku mbili kwa watumishi wa Baraza tarehe 17 na 18 Machi, 2025 katika ukumbi wa TAMISEMI Dar es salaam ili kuimarisha mfumo wa utoaji huduma kwa wadau wa sanaa nchini.